Hilo ni suala la ndotoni. Lakini si ndoto ya kila mtu. Na, kwa kweli, sio kila mtu anaweza kukubali kwamba Fidel alikuwa ni Daudi au Goliathi.
Soma makala hii hapa https://goo.gl/thhDzW
Hilo ni suala la ndotoni. Lakini si ndoto ya kila mtu. Na, kwa kweli, sio kila mtu anaweza kukubali kwamba Fidel alikuwa ni Daudi au Goliathi.
Soma makala hii hapa https://goo.gl/thhDzW
Wakati matokeo ya utafiti huo yakitoka, D’Asaro na rafiki yake waliamua kwenda Petco na kununua aina mbalimbali ya wadudu na kuanza kujiuliza ni namna gani atashawishi watu kuwa wadudu ni muhimu katika afya ya binadamu.
D’Asaro anasema kwamba, baada ya kufanya maandalizi na majaribio akigundua kwamba watoto ndio walionekana kuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo.
Zaidi, bofya hapa https://goo.gl/Sgc6ri
Matumizi ya mafuta ya taa, kwa mujibu wa wataalamu wa mazingira yanachangia kwa kiwango kikubwa kuchafua ziwa Victoria kwani karabai zinazotumiwa wakati mwingine humwaga mafuta ziwani.
Zaidi, click hapa https://goo.gl/mNQPJx
Ameyataja mambo ambayo yatakwamisha sekta ya gesi kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye uchumi kuwa ni kukabiliana na mataraji makubwa baina ya wananchi na wanasiasa.
Ameishauri Tanzania kuhakikisha kwamba inaendeleza wataalamu mbalimbali kwa ajili ya sekta hiyo.
Zaidi, soma hapa https://goo.gl/cZjHmF
Baadhi ya wachambuzi huko Washington na New Delhi wanaona kwamba demokrasia hizo kubwa mbili kama washirika wa asili, hasa kutokana na China kuzidi kuonyesha makucha yake katika ukanda huo, kama vile ujenzi wa visiwa vikiwa na vifaa vya kijeshi.
Zaidi, soma hapa https://goo.gl/CNSFpV
“Baraza zote za maduka na nyumba za kuishi ziwe wazi. Msako ukipita bidhaa zitakazoonekana zitachukuliwa na mwenye duka na nyumba wote watachukuliwa hatua.
Zaidi, soma hapa https://goo.gl/F7QWJD
Ndani ya CDU, wanachama wamekuwa na minong’ono kwamba Merkel ameshindwa kuona matakwa ya watu.
Na hii, labda ndiyo maana amefanya uamuzi mkubwa wa kisiasa – uamuzi ambao umeshutumiwa na makundi yanayotetea haki za wakimbizi: kuunga mkono upigaji marufuku wa mavazi yanayofunika uso.
Zaidi, soma https://goo.gl/SQfBnf
Washauri wa biashara waliozungumza na Raia Mwema mwishoni mwa wiki jana wamebainisha kwamba kiwango cha fedha zinazotarajiwa kukusanywa ni kikubwa mno, ukilinganisha na uwezo wa kifedha wa wawekezaji wengi wa ndani.
Zaidi, soma hapa https://goo.gl/fTDgH4
Obama amesema matumizi ya bangi hayapaswi kufanywa kuwa kosa la jinai bali yachukuliwa kama kosa la kiafya pale tu mhusika anapozidisha matumizi yake hadi kupata madhara ya kupindukia (addiction).
Zaidi, soma https://goo.gl/rnBCGm
Rais Jakaya Kikwete, akamteua Joyce Ndalichako, aliyekuwa mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA.
Katika kipindi cha miaka michache tu, tatizo la kuvuja kwa mitihani likaanza kupungua kama si kumalizika kabisa. Wafanyakazi waliokuwa NECTA wakati huo, wanasema kama kuna mtu aliyestahili sifa kwa mafanikio hayo alikuwa ni mmoja; Joyce Ndalichako.
Zaidi, soma https://goo.gl/vYoeu7
Taarifa ya kuondolewa kwa WAMA kwenye orodha hiyo imetolewa na Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidata, Jumatatu jioni wiki hii, ikiwa ni taarifa ya tatu kutolewa na taasisi tatu tofauti nchini kuhusu orodha ya mnada huo, ndani ya siku chache.
Zaidi, soma https://goo.gl/qVtX4J
“Rubani kwa rubani, meli kwa meli, Japan inaweza kusimama na yeyote,” alisema John T. Kuehn, profesa wa historia ya kijeshi katika Komandi ya Jeshi la Marekani.
Soma habari kamili https://goo.gl/3v5Pzm
Kwa mujibu wa taarifa ya hali ya UKIMWI duniani kutoka Shirika la Mpango wa UKIMWI la Umoja wa Mataifa – Tanzania (UNAIDS) kwa mwaka 2015, Jiji la Dar es Salaam limekuwa kati ya majiji Barani Afrika yenye kiwango kikubwa cha maambukizi ya UKIMWI.
Soma habari hii https://goo.gl/GCVIjl
Mbali na hayo Waziri Ummy amesema kuwa takwimu zinaonesha katika mwezi Novemba 2016 jumla ya mikoa sita ikiwemo Morogoro yenye wagonjwa 282, Dodoma 96 na vifo 2, Mara 31, Kigoma 30 na vifo 4, Arusha 11 na Dar Es Salaam 8 kutoka wagonjwa 250 na vifo 4 kwa mwezi Oktoba mwaka huu.
Soma habari hii https://goo.gl/4tkmSv
China ilijibu kwa hasira juu ya simu ya Taiwan, kwa kusema kwamba inaonyesha kuwa Trump amekosa uzoefu.
Trump kupitia ukurasa wake wa Twitter alituma ujumbe unaoonyesha yale aliyokuwa akiyasema wakati wa kampeni dhidi ya China.
Soma habari kamili https://goo.gl/6zhhWN
Alisema viwanda chini ya kampuni hiyo, vinazalisha bidhaa nyingi zenye ubora lakini makampuni yanashindwa kununua na kupenda zaidi kununua bidhaa za nje.
Soma habari kamili hapa https://goo.gl/IAjtxf