Mashabiki wa klabu ya Chapecoense ya nchini Brazil wakusanyika kwa maombolezo. Raia wa Cuba wanaomboleza kifo cha kiongozi wao Fidel Castro. Na Bunge la Korea Kusini linatarajiwa kupiga kura ya kumshitaki rais wa nchi hiyo Park Geun-hye. Papo kwa Papo 30.11.2016



!['Baada ya mamia kwa maelfu ya watu kuhudhuria Misa ya Wafu kwa ajili ya mwanamapinduzi wa Cuba, Fidel Castro, majivu ya kiongozi huyo wa zamani yanaanza kusafirishwa kutoka mji mkuu Havana hadi mjini Santiago kwa ajili ya mazishi hapo Jumapili, umbali wa kilomita 900. Mchora katuni wetu, @[104471662929072:274:GADO] Mwampembwa, anamuaga Fidel kwa mchoro huu.'](https://scontent.xx.fbcdn.net/v/t1.0-0/p206x206/15219584_1388274984551158_9130943288575176244_n.jpg?oh=52b13bc1cd933716fee233d158964256&oe=58AF0442)































